Saturday, January 21, 2012

LIGI KUU RAUNDI YA PILI KUANZA LEO

LIGI KUU RAUNDI YA PILI KUANZA LEO

Ligi Kuu ya VodaCom Tanzania Bara, itaanza leo baada ya kupumzika kwa kipindi fulani.
Mechi zitapigwa leo katika viwanja tofauti ambapo mabingwa watetezi Yanga itavaana na Moro Utd katika uwanja wa Taifa Dar es Salaam, Mtibwa Sugar itapambana na JKT Oljoro huku Ruvu Shooting ikipambana na Toto Afrika kwenye uwanja wa Mlandizi mkoani Pwani.  

No comments:

Post a Comment

Post a Comment