Saturday, January 21, 2012

NJOROGE AVUNA PESA YANGA

NJOROGE AVUNA PESA YANGA
Timu ya Yanga inatakiwa kumlipa jumla ya shilingi milioni 17,159,800 za Tanzania beki wa kimataifa wa Kenya na Sofapaka John Njoroge.
Yanga imeamriwa kulipa pesa hizo na FIFA ndani ya siku 30.

No comments:

Post a Comment

Post a Comment