Monday, January 23, 2012

POLISI DOM YAANZA POA

POLISI DODOMA YAANZA VIZURI
Timu ya Polisi Dodoma imeanza vizuri mzunguko wa pili wa Ligi Kuu kwa kuibamiza JKT bao 1-0 katika uwanja wa Azam wa Chamazi.
Kwa ushindi huo Polisi imeshika nafasi ya 12 katika msimamo JKT ikiwa nafasi ya 7 na ina pointi 17.

No comments:

Post a Comment

Post a Comment