Monday, January 23, 2012

NCHUNGA AMJIA JUU PAPIC

NCHUNGA AMJIA JUU PAPIC
Mwenyekiti wa Yanga Lloyd Nchunga amemjia juu kocha wa Yanga Mserbia Kostadic Papic kwa tabia yake ya kuzungumza na waandishi mara kwa mara.
Nchunga amesema tabia ya Papic kutoa taarifa za timu bila ruhusa ni kuwavuruga wanachama.

No comments:

Post a Comment

Post a Comment