Saturday, December 24, 2011

Floyd Mayweather 'JR' Atupwa Jela

FLOYD MAYWEATHER 'JR' ATUPWA JELA
Floyd Mayweather Jr akilia baada ya kupewa kifungo hicho

Bondia mashuhuri Floyd Mayweather Jr ametupwa Jela kwa siku 90, baada ya kukutwa na hatia ya kumpiga mpenzi wake wa zamani Jose Harris.
Pia amepigwa faini ya $2,500 na kutumia saa 100 kufanya kazi za kuhudumia jamii.

No comments:

Post a Comment

Post a Comment