Saturday, December 24, 2011

Mafuriko Yaharibu Kambi Twiga Stars

MAFURIKO YAHARIBU KAMBI TWIGA STARS
Mafuriko yaliyotokea jijini Dar es Salaam, yameharibu mazoezi ya timu ya Twiga Stars.
Timu ya Twiga Stars ambayob ipo kambini kujiandaa kucheza na Namibia imeshindwa kuendelea na mazoezi kutokana na wachezaji wake wengi kuathiriwa na mafuriko.

No comments:

Post a Comment

Post a Comment