Monday, December 26, 2011

Mafuriko Yawaathiri Nyota wa Soka

MAFURIKO YAWAATHIRI NYOTA WA SOKA
Mvua zilizonyesha kwa siku tatu mfululizo, zimewaathiri pia nyota wa zamani wa Simba na Yanga.
Nyota hao ni pamoja na kipa wa zamani wa Taifa Stars na Yanga Manyika Peter, Dua Said Nyota wa zamani wa Simba.
Spoti Kizaazaa inawapa pole wachezaji hawa pamoja na waathirika wote.

No comments:

Post a Comment

Post a Comment