Monday, December 26, 2011

Simab na Yanga Kusaidiwa na DRFA

DRFA KUZISAIDIA SIMBA NA YANGA
Chama cha soka mkoa wa Dar es Salaam (DRFA), imepanga kuzisaidia timu za Simba na Yanga zinazojiandaa na michuano ya kimataifa.
Yanga ambao ni mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, itacheza na Zamalek ya Misri katika mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, wakati Simba itacheza na Kiyovu ya Rwanda katika kombe la Shirikisho. 

No comments:

Post a Comment

Post a Comment