Saturday, December 24, 2011

Mechi ya Simba na Gor Mahia

MECHI YA SIMBA NA GOR MAHIA YAOTA MBAWA
Ile Mechi iliyopangwa kuchezwa kati ya Simba vs Gor Mahia ya Kenya imeota mbawa, mechi hiyo imeota mbawa kutokana na timu ya Simba kutaka kitita cha Tsh milioni 25, wakati waandaji wa pambano hilo walitaka kuipata 20%.  

No comments:

Post a Comment

Post a Comment