Monday, December 26, 2011

Riadha na Kashfa Nzito

RIADHA ARUSHA YAKUMBWA NA KASHFA NZITO
Chama cha Riadha mkoa wa Arusha (ARAA), kimeingia katika kashfa nzito baada ya Mwenyekiti wake, Henry Nyiti kudaiwa kuibadili katiba ya chama hicho hali ambayo imezua mgogoro mzito ndani ya chama hicho.
Viongozi wa chama hicho wamemtuhumu Mwenyekiti huyo kwa madai kuwa amepitisha katiba batili kwa manufaa yake binafsi, bila ya kujali kuwa na wao pia wanamchango mkubwa katika katiba hiyo.

No comments:

Post a Comment

Post a Comment