Monday, December 26, 2011

Cheka na Mkanda wa Dunia

CHEKA: NATAKA MKANDA WA DUNIA
Bondia Francis Cheka "SMG" wa Morogoro, amesema hana wasiwasi wowote juu ya pambano lisilo la ubingwa litakalofanyika Januari 28, 2012, kwenye uwanja wa Jamhuri dhidi ya Karama Nyirawila.
Akizungumza kwa njia ya simu kutoka Morogoro jana, Cheka amesema kuwa amefanya maandalizi ya kushinda kwa kishindo ingawa dhamira yake sio pambano hilo bali Mikanda ya Dunia. 

No comments:

Post a Comment

Post a Comment