Sunday, December 25, 2011

Stars Kukipiga na Misri

STARS KUKIPIGA NA MISRI

Timu ya taifa ya mpira wa miguu ya Tanzania (Taifa Stars), itakipiga na Mapharaoh wa Misri katika mechi ya kirafiki itakayopigwa kati ya Februari 23 au 24 jijini Cairo Misri.

No comments:

Post a Comment

Post a Comment