Sunday, December 25, 2011

Vituko Yanga vs Zamalek

VITUKO VYA YANGA NA MECHI DHIDI YA ZAMALEK

Wakati Yanga wakitumia vyombo vya habari kujinadi na kujigamba kwamba wataifunga Zamalek ya Misri, wenzao Zamalek watacheza mechi ya majaribio na Juventus ya Italia.
Zamalek itacheza na Juventus ya Italia kabla ya kuivaa Yanga ya jijini DSM, mpaka sasa Yanga inacheza mechi za majaribio na JKT Ruvu na Azam FC ya Mbagala.

No comments:

Post a Comment

Post a Comment