Thursday, December 29, 2011

Vituko vya Papic na Yanga

PAPIC NA YANGA VITUKO
Vichekesho vinavyoendelea baina ya Uongozi wa Yanga na kocha mkuu wa klabu hiyo Kostadin Papic ni vituko,  Papic ambaye anaifundisha Yanga kwa mara ya piliameitia tena klabu hiyo katika mgogoro mkubwa huku ikiwa imebaki siku chache wakutane na Zamalek.
Papic amekuwa akilalamikia maslahi yake na wachezaji ambapo amesema wachezaji hawana mshahara, kwake umeme na maji hakuna n.k, lakini cha ajabu Papic amekuwa akitoa kauli hizo kwa waandishi badala ya kuzungumza na uongozi.
Kama uongozi wa Yanga utaendelea kumchekea kocha huyu ni wazi kabisa atawapeleka pabaya.

No comments:

Post a Comment

Post a Comment